Msanii wa muziki nchini Mr nice ameachia ablam yake iitwayo KIOO siku ya jumatano huko nchini Kenya na mauzo yake kuwa makubwa kufikia nakala 5000.
Msanii huyo amesema kuwa kama alivyoahidi kutoa albamu tu na sio single tena kwani natembea kiutu uzima,na mpaka sasa ameuza nakala hizo 5000 katika nchi ya kenya tu hivyo bado nchi zingine pia.
Mr Nice kwa sasa yupo nchini Kenya kwa ajili ya kuitangaza albamu yake mpya huku akifanya show mbalimbali na anategemea akimaliza nchini hapo ataelekea nchini Uganada.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni