Jumamosi, 25 Juni 2016

SHILOLE AFUNGUA LABEL YAKE NA KUMSAINI MSANII CHIPUKIZI


11330616_296972493806688_1211325526_n
         Zuwena Mohamed "Shilole"

   Msanii wa muziki nchini Zuwena Mohamed almaarufu kwa jina la Shilole,ameanzisha label yake iitwayo Shilole Entertaiment,lakini pia kumsaini msanii chipukizi aitwae Amaselly.

   Shilole amefunguka kwa kusema ameamua kuanzisha label hiyo ili kuwasaidia wasanii ambao wana vipaji ila hawapati nafasi kwenye game
      Kwa upande wake msanii huyo Amaseiil a.k.a Gaucho,amesema kuwa alimshukuru shilole kwa uamuzi huo wa kumsainisha kwenye label yake hivyo anaahidi mambo mazuri katika game ya muziki.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni