Kocha mpya wa klabu ya manchester united Jose Mourinho amemsajili staa mpya leo tarehe 6,
Henrikh Mkhitaryan kutokea klabu ya Borussia Dortmund kwa mkataba wa miaka mine.

Mkhitaryan anakuwa mchezaji wa tatu kujiunga na Man United baada ya kusajiliwa kwa Eric Bailly kutoka Villarreal na Zlatan Ibrahimovic kama
mchezaji huru.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni